USAILI KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

  • 06/04/2024

 USAILI KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Uongozi wa shule ya Sekondari Maria De Mattias unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika michepuo ifuatayo:

PCB, CBG,PCM,PGM,EGM,HGE,HGK, HGL na ECA.

Fomu za kujiunga zinapatikana;

(i) Shuleni kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu.

(ii) Dar es Salaam Msimbazi Center na Mbezi Beach Tanki Bovu kwa Masista Waabuduo damu ya Kristu kwa gharama ya Tsh 25,000/= tu.

 

USAILI UTAFANYIKA SHULENI MARIA DE MATTIAS SIKU YA JUMANNE TAR 09/04/2024 SAA 02:00 ASUBUHI

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPITIA:

(a) 0745141511 au 0769726461 au 0756715173.

Share

Contact us

Web Traffic

Today51
Yesterday1326
This week2261
This month1377
Total201958

Follow us on

Top