Maria De Mattias Secondary School - Items filtered by date: كانون1/ديسمبر 2023
السبت, 21 أيلول/سبتمبر 2024 07:41

USAILI WA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2024/2025

NAFASI ZA PRE-FORM ONE KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatangazia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

FOMU ZA KUJIUNGA

Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.

  • Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
  • Katika tovuti yetu ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz.
  • Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
  • Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
  • Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
  • Moshi Bookshop (Kilimanjaro).

NAMNA YA KUJIUNGA

Usaili (interview) utafanyika tar 30/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).

Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.

NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.

“Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.

Published in News
الثلاثاء, 06 آب/أغسطس 2024 19:16

USAILI KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

NAFASI ZA PRE-FORM ONE 2024/2025

Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatanagzia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.

FOMU ZA KUJIUNGA

Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.

  • Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
  • Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
  • Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
  • Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
  • Moshi Bookshop (Kilimanjaro).

NAMNA YA KUJIUNGA

Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).

Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.

NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.

 “ Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.

 

Published in News
السبت, 06 نيسان/أبريل 2024 05:00

USAILI KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025

 USAILI KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025

Uongozi wa shule ya Sekondari Maria De Mattias unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika michepuo ifuatayo:

PCB, CBG,PCM,PGM,EGM,HGE,HGK, HGL na ECA.

Fomu za kujiunga zinapatikana;

(i) Shuleni kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu.

(ii) Dar es Salaam Msimbazi Center na Mbezi Beach Tanki Bovu kwa Masista Waabuduo damu ya Kristu kwa gharama ya Tsh 25,000/= tu.

 

USAILI UTAFANYIKA SHULENI MARIA DE MATTIAS SIKU YA JUMANNE TAR 09/04/2024 SAA 02:00 ASUBUHI

KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPITIA:

(a) 0745141511 au 0769726461 au 0756715173.

Published in News
الصفحة 1 من 2

Contact us

Web Traffic

Today500
Yesterday1326
This week2710
This month1826
Total202407

Follow us on

Top