CSEE 2024 EXAMINATION RESULTS
FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2024 RESULTS
USAILI WA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2024/2025
NAFASI ZA PRE-FORM ONE KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatangazia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
FOMU ZA KUJIUNGA
Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.
- Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
- Katika tovuti yetu ya shule ambayo ni www.mariademattiassec.sc.tz.
- Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
- Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
- Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
- Moshi Bookshop (Kilimanjaro).
NAMNA YA KUJIUNGA
Usaili (interview) utafanyika tar 30/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).
Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.
NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.
“Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.
CSEE 2023 EXAMINATION RESULTS
CSEE 2022 EXAMINATION RESULTS
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2023 RESULTS
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2022 RESULTS
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA FORM TWO NATIONAL ASSESSMENT (FTNA) 2021 RESULTS
USAILI KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
NAFASI ZA PRE-FORM ONE 2024/2025
Uongozi wa Shule ya Sekondari Maria De Mattias inayopatikana Kisasa “B” Manispaa ya Dodoma, unawatanagzia wazazi/walezi wote nafasi za masomo ya PRE-FORM ONE na FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
FOMU ZA KUJIUNGA
Fomu za kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025 zinapatikana maeneo yafuatayo kwa gharama ya Tsh. 20,000/= tu.
- Shuleni Maria De Mattias (Dodoma).
- Morogoro, kwa Masista Waabuduo Damu ya Kristo (Kola B): 0762987474
- Dar es Salaam, Mbezi Beach-Tangi Bovu kwa Masista: 0628291000
- Dar es Salaam, Msimbazi Center Chumba namba 22. 0715265446
- Moshi Bookshop (Kilimanjaro).
NAMNA YA KUJIUNGA
Usaili (interview) utafanyika tar 16/09/2024 shuleni Maria De Mattias (Dodoma) na Mbezi Beach Tangi Bovu (Dar es Salaam).
Muda wa kuripoti kituo cha mtihani ni saa moja kamili asubuhi.
NB: Shule ya Sekondari Maria De Mattias ni shule ya Bweni kwa O-LEVEL na A-LEVEL na ni ya wasichana tu.
“ Mlete mwanao Maria De Mattias Sekondari kwa Elimu na Malezi bora”.
USAILI KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2024/2025
USAILI KIDATO CHA TANO MWAKA WA MASOMO 2024/2025
Uongozi wa shule ya Sekondari Maria De Mattias unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika michepuo ifuatayo:
PCB, CBG,PCM,PGM,EGM,HGE,HGK, HGL na ECA.
Fomu za kujiunga zinapatikana;
(i) Shuleni kwa gharama ya Tsh 20,000/= tu.
(ii) Dar es Salaam Msimbazi Center na Mbezi Beach Tanki Bovu kwa Masista Waabuduo damu ya Kristu kwa gharama ya Tsh 25,000/= tu.
USAILI UTAFANYIKA SHULENI MARIA DE MATTIAS SIKU YA JUMANNE TAR 09/04/2024 SAA 02:00 ASUBUHI
KWA MAWASILIANO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI WA SHULE KUPITIA:
(a) 0745141511 au 0769726461 au 0756715173.